HOME       JAMII       SIASA       MICHEZO       CONTACT US

Sunday, December 2, 2012

Maadhimisho Ya Siku Ya UKIMWI Zanzibar

 Wananchi kutoka sehemu mbalimbali wakiwa wamekusanyika kwa ajili ya kufanya Maandamano ya Kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani yanayofanyika kila ifikapo Tarehe 1Disemba 2012 . huko Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini B Zanzibar.


 Waziri wa Afya Juma Duni Haji akitoa Hotuba katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yanayofanyika kila ifikapo Tarehe 1Disemba 2012 huko katika Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini B Zanzibar.kulia yake ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pembe Juma Khamis na kushoto yake ni Mwenyekiti wa Tume ya Ukimwi Zanzibar Prof,Saleh Idris Muhammed
Wananchi mbalimbali waliohudhurika katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yanayofanyika kila ifikapo Tarehe 1Disemba 2012 . wakisoma majarida ya Ukimwi yaliotolewa kwa ajili ya kijifunza masuala ya Ukimwi.huko Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini B Zanzibar.
 
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
ANDIKA MAONI YAKO HAPA KUHUSU HII HABARI

No comments:

Post a Comment